Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 139

Zaburi 139:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Wewe unajua nikaapo na niinukapo; unayajua mawazo yangu tokea mbali sana.
3Unachunguza wenendo wangu na kulala kwangu; unazijua njia zangu zote.
4Kabla hakujawa na neno kwenye ulimi wangu, wewe unalijua kabisa, Yahwe.
5Nyuma yangu na mbele yangu unanizunguka na kuniwekea mkono wako.

Read Zaburi 139Zaburi 139
Compare Zaburi 139:2-5Zaburi 139:2-5