Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 136

Zaburi 136:4-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
5Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
6Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
7Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
8Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
9Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
10Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.

Read Zaburi 136Zaburi 136
Compare Zaburi 136:4-10Zaburi 136:4-10