Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 136

Zaburi 136:3-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
4Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
5Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
6Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
7Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.

Read Zaburi 136Zaburi 136
Compare Zaburi 136:3-7Zaburi 136:3-7