Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 135

Zaburi 135:12-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.

Read Zaburi 135Zaburi 135
Compare Zaburi 135:12-21Zaburi 135:12-21