14“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
15Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
16Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
17Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.