Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 131

Zaburi 131:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Yahwe, moyo wangu haujivuni wala macho yangu hayana kuburi. Sina matarajio makubwa kwa ajili yangu mwenyewe wala kujihofia kwa mambo ambayo yako juu ya uwezo wangu.
2Hakika nimejituliza na kuinyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa na mama yake, nafsi yangu ndani yangu iko kama mtoto aliye achishwa.

Read Zaburi 131Zaburi 131
Compare Zaburi 131:1-2Zaburi 131:1-2