Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 129

Zaburi 129:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
7ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
8Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”

Read Zaburi 129Zaburi 129
Compare Zaburi 129:6-8Zaburi 129:6-8