Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 124

Zaburi 124:3-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
6Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
7Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.

Read Zaburi 124Zaburi 124
Compare Zaburi 124:3-7Zaburi 124:3-7