Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 121

Zaburi 121:2-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Msaada wangu unatoka kwa Yahwe, aliyezifanya mbingu na nchi.
3Hatauacha mguu wako uteleze; yeye akulindaye hatasinzia.
4Tazama, mlinzi wa Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi kamwe.

Read Zaburi 121Zaburi 121
Compare Zaburi 121:2-4Zaburi 121:2-4