Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 120

Zaburi 120:3-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

Read Zaburi 120Zaburi 120
Compare Zaburi 120:3-7Zaburi 120:3-7