Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 120

Zaburi 120:3-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.

Read Zaburi 120Zaburi 120
Compare Zaburi 120:3-4Zaburi 120:3-4