Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:96-98

Help us?
Click on verse(s) to share them!
96Nimeona kuwa kila kitu kina mipaka, lakini amri zako ni pana, zaidi ya mipaka. MEM.
97Oh ni jinsi gani naipenda sheria yako! Ni tafakari yangu mchana kutwa.
98Amri zako hunifanya mwenye hekima kuliko adui zangu, maana amri zako siku zote ziko pamoja nami.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:96-98Zaburi 119:96-98