Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:44-50

Help us?
Click on verse(s) to share them!
44Nitazitii sheria zako siku zote, milele na milele.
45Nitaenenda salama, maana ninayatafuta maagizo yako.
46Nitazinena amri zako thabiti mbele ya wafalme nami sitaaibika.
47Ninafurahia katika amri zako, nizipendazo sana.
48Nitaziinulia mikono yangu amri zako, nizipendazo; nitazitafakari sheria zako. ZAYIN.
49Kumbuka ahadi yako kwa mtumishi wako kwa sababu umenipa tumaini.
50Hii ni faraja yangu katika mateso: kuwa ahadi yako imeniweka hai.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:44-50Zaburi 119:44-50