Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 8

Yoshua 8:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Mimi pamoja na watu wote walio pamoja nami tutaukaribia mji. Na wakati watakapokuja kutushambulia sisi, tutawakimbia kama tulivyofanya hapo mwanzo.
6Watatoka nje watukimbize mpaka hapo tutakapokuwa tumewavuta mbali sana na mji, watasema, “Wanatukimbia kama walivyofanya mara ya mwisho.' Hivyo tutawakimbia na kwenda mbali.
7Kisha mtapanda kutoka sehemu mliyojificha, na mtauteka mji. Yahweh Mungu wenu atawapa mkononi mwenu.

Read Yoshua 8Yoshua 8
Compare Yoshua 8:5-7Yoshua 8:5-7