47Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50Anabu, Eshitemo, Animu,