Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 15

Yoshua 15:17-42

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
18Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
19Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
20Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22Kina, Dimona, Adada,
23Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24Zifu, Telemu, Bealothi.
25Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26Amamu, shema, Molada,
27Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29Baala, Limu, Ezemu,
30Eltoladi, Kesili, Horma,
31Ziklagi, Madimana, Sansana,
32Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera (ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37Zena, Hadasha, Migidagadi,
38Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42Libna, Etheri, Ashani,

Read Yoshua 15Yoshua 15
Compare Yoshua 15:17-42Yoshua 15:17-42