Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:36-40

Help us?
Click on verse(s) to share them!
36Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”
37Yesu akamwambia, “Umekwisha mwona, naye ndiye anayesema nawe sasa.”
38Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.
39Yesu akasema, “Mimi nimekuja ulimwenguni kutoa hukumu, kusudi wasioona wapate kuona, na wale wanaoona wawe vipofu.”
40Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye walisikia maneno hayo, wakamwuliza, “Je, sisi pia ni vipofu?”

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:36-40Yohana 9:36-40