Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:33-37

Help us?
Click on verse(s) to share them!
33Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”
34Wao wakamjibu, “Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi; unawezaje kutufundisha sisi?” Basi, wakamfukuzia mbali.
35Yesu alisikia kwamba walikuwa wamemfukuzia mbali, naye alipomkuta akamwuliza, “Je, wewe unamwamini Mwana wa Mtu?”
36Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”
37Yesu akamwambia, “Umekwisha mwona, naye ndiye anayesema nawe sasa.”

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:33-37Yohana 9:33-37