Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:26-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”
27Huyo mtu akawajibu, “Nimekwisha waambieni, nanyi hamkusikiliza; kwa nini mwataka kusikia tena? Je, ninyi pia mnataka kuwa wafuasi wake?”
28Lakini wao wakamtukana wakisema, “Wewe ni mfuasi wake; sisi ni wafuasi wa Mose.

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:26-28Yohana 9:26-28