Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 9

Yohana 9:18-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Viongozi wa Wayahudi hawakusadiki kwamba mtu huyo alikuwa kipofu hapo awali na sasa anaona mpaka walipowaita wazazi wake.
19Basi, wakawauliza hao wazazi, “Je, huyu ndiye mtoto wenu ambaye ninyi mwasema alizaliwa kipofu? Sasa amepataje kuona?”
20Wazazi wake wakajibu, “Tunajua kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba alizaliwa kipofu.

Read Yohana 9Yohana 9
Compare Yohana 9:18-20Yohana 9:18-20