Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:54-55

Help us?
Click on verse(s) to share them!
54Yesu akawajibu, “Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza.
55Ninyi hamjapata kumjua, lakini mimi namjua. Na, nikisema simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi. Mimi namjua na ninashika neno lake.

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:54-55Yohana 8:54-55