Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:46-47

Help us?
Click on verse(s) to share them!
46Nani kati yenu awezaye kuthibitisha kuwa mimi nina dhambi? Ikiwa basi nasema ukweli, kwa nini hamniamini?
47Aliye wa Mungu husikiliza maneno ya Mungu. Lakini ninyi hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu wa) Mungu.”

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:46-47Yohana 8:46-47