Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:29-33

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza.”
30Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
31Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.
32Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”
33Nao wakamjibu, “Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?”

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:29-33Yohana 8:29-33