Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 8

Yohana 8:27-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.
28Basi, Yesu akawaambia, “Mtakapokwisha mwinua Mwana wa Mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha.
29Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza.”
30Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.

Read Yohana 8Yohana 8
Compare Yohana 8:27-30Yohana 8:27-30