Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:9-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
10Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
11Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: “Yuko wapi?”

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:9-11Yohana 7:9-11