Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:43-50

Help us?
Click on verse(s) to share them!
43Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
44Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
45Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, “Kwa nini hamkumleta?”
46Walinzi wakawajibu, “Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!”
47Mafarisayo wakawauliza, “Je, nanyi pia mmedanganyika?
48Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
49Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!”
50Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:43-50Yohana 7:43-50