Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:42-45

Help us?
Click on verse(s) to share them!
42Maandiko hayajasema kuwa Kristo atatokea katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi alikuwa?
43Hivyo, pale ukainuka mgawanyiko katikati ya makutano kwa ajili yake.
44Wengine kati yao wangelimkamata, lakini hakuna aliyenyoosha mikono yake juu yake.
45Ndipo wale maofisa wakarudi kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, nao wakawaambia, “Kwa nini hamjamleta?”

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:42-45Yohana 7:42-45