Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:41-48

Help us?
Click on verse(s) to share them!
41Wengine walisema, “Huyu ni Kristo.” Lakini wengine walisema, “nini, Kristo aweza kutoka Galilaya?
42Maandiko hayajasema kuwa Kristo atatokea katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi alikuwa?
43Hivyo, pale ukainuka mgawanyiko katikati ya makutano kwa ajili yake.
44Wengine kati yao wangelimkamata, lakini hakuna aliyenyoosha mikono yake juu yake.
45Ndipo wale maofisa wakarudi kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, nao wakawaambia, “Kwa nini hamjamleta?”
46Maofisa wakajibu, “Hakuna mtu aliyewahi kuzungumza kama huyu kabla.”
47Ndipo Mafarisayo walipowajibu, “Na nyinyi pia mmepotoshwa?
48Kuna yeyote kati ya watawala anayemwamini, au yeyote wa Mafarisayo?

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:41-48Yohana 7:41-48