Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:37-39

Help us?
Click on verse(s) to share them!
37Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, “Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
38Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!”
39(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:37-39Yohana 7:37-39