Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:34-36

Help us?
Click on verse(s) to share them!
34Mtanitafuta wala hamtaniona; kule niendako, hamtaweza kuja.”
35Kwa hiyo Wayahudi wakasemezana wao kwa wao, “Mtu huyu atakwenda wapi kwamba tusiweze kumuona? Ataenda kwa Waliotawanyika kati ya Wayunani na kuwafundisha Wayunani?
36Ni neno gani hili alilolisema, 'Mtanitafuta wala hamtaniona; kule niendako hamtamweza kuja'?”

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:34-36Yohana 7:34-36