Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 7

Yohana 7:18-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Kila anayezungumza yatokayo kwake mwenywe hutafuta utukufu wake, bali kila atafutaye utukufu wake yeye aliyemtuma, mtu huyo ni wa kweli, na ndani yake hakuna kutotenda haki.
19Musa hakuwapa nyinyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu atendaye sheria. Kwa nini mnataka kuniua?
20Makutano wakajibu, “Una pepo. Nani anataka kukuua?”

Read Yohana 7Yohana 7
Compare Yohana 7:18-20Yohana 7:18-20