Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:8-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Andrea, mmoja wa wanafunzi wake ndugu yake Simoni Petro akamwambia
9Yesu, “Kuna mvulana hapa ana mikate mitano na samaki wawili, lakini hii yafaa nini kwa watu wengi namna hii?”

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:8-9Yohana 6:8-9