Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:66-69

Help us?
Click on verse(s) to share them!
66Baada ya haya wanafunzi wake wengi walirudi nyuma na hawakuambatana naye tena.
67Yesu akawambia wale kumi na wawili, “Je na ninyi mnataka kuondoka?”
68Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele,
69na tumeamini na kujua kuwa wewe ni Mtakatifu wa Mungu.”

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:66-69Yohana 6:66-69