Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:63-68

Help us?
Click on verse(s) to share them!
63Ni Roho ndiye atoaye uzima. Mwili haufaidii kitu chochote. Maneno niliyoyasema kwenu ni roho na ni uzima.
64Bado kuna watu kati yenu wasioamini.” kwa sababu Yesu alijua tangu mwanzo yule ambaye asiyeweza kuamini na yeye ambaye angemsaliti.
65Akawambia, ni kwa sababu hii niliwambia kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amepewa na Baba.”
66Baada ya haya wanafunzi wake wengi walirudi nyuma na hawakuambatana naye tena.
67Yesu akawambia wale kumi na wawili, “Je na ninyi mnataka kuondoka?”
68Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele,

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:63-68Yohana 6:63-68