Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:58-60

Help us?
Click on verse(s) to share them!
58Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele.”
59Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.
60Basi, wengi wa wafuasi wake waliposikia hayo, wakasema, “Haya ni mambo magumu! Nani awezaye kuyasikiliza?”

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:58-60Yohana 6:58-60