Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:56-59

Help us?
Click on verse(s) to share them!
56Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, akaa ndani yangu, nami nakaa ndani yake.
57Baba aliye hai alinituma, nami naishi kwa sababu yake; vivyo hivyo anilaye mimi ataishi pia kwa sababu yangu.
58Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele.”
59Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu.

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:56-59Yohana 6:56-59