Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:50-53

Help us?
Click on verse(s) to share them!
50Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa.
51Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”
52Ndipo Wayahudi wakaanza kubishana kati yao:
53Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa damu yake, hamtakuwa na uzima ndani yenu.

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:50-53Yohana 6:50-53