Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:48-51

Help us?
Click on verse(s) to share them!
48Mimi ni mkate wa uzima.
49Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
50Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa.
51Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:48-51Yohana 6:48-51