Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:25-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Wale watu walipomkuta Yesu ng'ambo ya pili wa ziwa walimwuliza, “Mwalimu, ulifika lini hapa?”
26Yesu akawajibu, “Kweli nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
27Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni chakula hicho.”

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:25-27Yohana 6:25-27