Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 6

Yohana 6:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Basi, wakakusanya vipande vya mikate ya shayiri walivyobakiza wale watu waliokula, wakajaza vikapu kumi na viwili.
14Watu walipoiona ishara hiyo aliyoifanya Yesu, wakasema, “Hakika huyu ndiye nabii anayekuja ulimwenguni.”
15Yesu akajua ya kuwa watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake.

Read Yohana 6Yohana 6
Compare Yohana 6:13-15Yohana 6:13-15