Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:8-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Yesu akamwambia, “Inuka na uchukue godoro lako na uende.”
9Mara yule mtu akaponywa, akachukua kintanda chake na akaenda. Na siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato.
10Hivyo Wayahudi wakamwambia yule mtu aliyeponywa, “Leo ni siku ya Sabato, na hauruhusiwi kubeba godoro lako.”
11Akajibu, yeye aliyeniponya ndiye aliyeniambia, “Chukua godoro lako na uende.”
12Wakauliza, “Ni nani aliyekuambia 'Chukua godoro lako na uende?'''
13Ingawa, yule aliyeponywa hakumjua, kwa sababu Yesu alikuwa ameondoka kwa siri. Kwa kuwa kulikuwa na watu wengi katika sehemu hiyo.

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:8-13Yohana 5:8-13