Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.
6Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”
7Naye akajibu, “Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia.”

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:5-7Yohana 5:5-7