Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:43-45

Help us?
Click on verse(s) to share them!
43Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.
44Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu?
45Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:43-45Yohana 5:43-45