Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Hivyo, kwa sababu ya mambo hayo Wayahudi walimtesa Yesu, kwa sababu alifanya mambo haya siku ya Sabato.
17Yesu akawambia, “Baba yangu anafanya kazi hata sasa nami nafanya kazi.”
18Kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kumtafuta ili wamuue sio tu kwa sababu ya kuivunja Sabato, bali kwa kumwita Mungu Baba yake, akijifanya kuwa sawa na Mungu.

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:16-18Yohana 5:16-18