Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 5

Yohana 5:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu.
2Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao.

Read Yohana 5Yohana 5
Compare Yohana 5:1-2Yohana 5:1-2