Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:26-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Yesu akamwambia, “Mimi unayesema nami ndiye.”
27Wakati huo huo wanafunzi wake wakarudi. Nao walishangaa kwa nini alikuwa akizungumza na mwanamke, lakini hakuna aliyethubutu kumuuliza, “Unataka nini?” au “Kwa nini unazungumza naye.?”
28Hivyo mwanamke akauacha mtungi wake na akaenda mjini na akawambia watu,

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:26-28Yohana 4:26-28