Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:15-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, nayaomba maji hayo ili nisipate kiu, na nisihangaike kuja hapa kuchota maji.”
16Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo, kisha urudi.”
17Mwanamke akamwambia, “Sina mume.” Yesu akajibu, “Umesema vyema, 'Sina mume;'
18kwa maana umekuwa na wanaume watano, na mmoja ambaye unaye sasa sio mume wako. Katika hili umesema kweli!”

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:15-18Yohana 4:15-18