Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 3

Yohana 3:7-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.
8Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho.”
9Nikodemo akamwuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”
10Yesu akamjibu, “Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya?
11Kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu.

Read Yohana 3Yohana 3
Compare Yohana 3:7-11Yohana 3:7-11