Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 3

Yohana 3:18-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
19Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
20Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.

Read Yohana 3Yohana 3
Compare Yohana 3:18-20Yohana 3:18-20