19Yesu akawajibu, libomoeni Hekalu hili nami nitalijenga baada ya siku tatu.”
20Kisha wakuu wa Wayahudi wakasema, “Iligharimu miaka arobaini na sita kujenga hekalu hili nawe unasema utalijenga kwa siku tatu?”
21Ingawa, yeye aliongea hekalu akimaanisha mwili wake.